JUST IN: Kongamano la The Duke of Edinburgh’s International Award Foundation lasihi mataifa ya Bara Afrika kuwekeza katika vijana
Wadau katika masuala ya uimarishaji wa vijana wameshinikiza Kenya na Afrika kuwekeza zaidi katika vijana kwa kuwapa nafasi za uongozi na ujuzi mbalimbali ili kutambua uwezo wao katika jamii. Wakizungumza mjini Mombasa katika Kongamano la The Duke of Edinburgh’s International Award Foundation kwa ushirikiano na The President Award-Kenya, wadau hao wamesema Afrika inakadiria kuwa na
The post Kongamano la The Duke of Edinburgh’s International Award Foundation lasihi mataifa ya Bara Afrika kuwekeza katika vijana appeared first on TV47 Digital. Read More